a
Yer 4:19
;
Kum 32:25
;
Eze 7:15
;
Ay 20:2
;
Mao 2:11
;
Isa 16:11
;
Hos 11:8
Lamentations 1:20
20
a
“Angalia, Ee
Bwana
, jinsi nilivyo katika dhiki!
Nina maumivu makali ndani yangu,
nami ninahangaika moyoni mwangu,
kwa kuwa nimekuwa mwasi sana.
Huko nje, upanga unaua watu,
ndani, kipo kifo tu.
Copyright information for
SwhKC